

Lugha Nyingine
《影之刃2》绿色度测评报告
Co-May, kimbunga cha nane mwaka huu kuikumba China, kimetua kwa mara ya pili katika Mji wa Shanghai, mashariki mwa China jana Jumatano alasiri baada ya kutua katika Mkoa wa Zhejiang mapema Jumatano asubuhi, kituo cha uangalizi wa hali ya hewa cha Shanghai kimesema.
Mikoa ya Zhejiang na Jiangsu imechukua hatua kuongeza juhudi za ukaguzi wa hatari na kuzuia maafa wakati huohuo ikiwahamisha wakaazi kutoka maeneo hatari.
Mandhari ya Kipekee ya Karst katika Mkoa wa Guizhou yavutia watalii
Tamasha la kimataifa la densi lafunguliwa katika Mkoa wa Xinjiang, China likiwa na maonyesho 52
Wakulima wa China wawa na pilikapilika za uzalishaji wa kilimo katika kipindi cha Dashu
Maliasili nyingi za chumvi zaongeza mapato ya wanakijiji katika Wilaya ya Gegye, Xizang, China
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma