

Lugha Nyingine
赵丽颖穿抹胸款露背透视裙 事业线美腿香肩尽显
Serikali ya Zambia imepuuzilia mbali ripoti kwamba kuhuishwa kwa Mamlaka ya Reli ya Tanzania-Zambia (TAZARA) kutasababisha watu kupoteza ajira.
Taarifa iliyotolewa na wizara ya Uchukuzi na Usafirishaji ya Zambia jana Alhamisi, imesema hakuna mfanyakazi atakayeachishwa kazi chini ya mpango wa uhuishaji wa mamlaka hiyo, aikibainisha kuwa wafanyakazi kati ya 200 na 300 watapita kwenye ajira yenye masharti nafuu, lakini wengi wao wataendelea kuwa na ajira.
Taarifa hiyo pia imesema vyama vya wafanyakazi ndani ya TAZARA vinafahamu kikamilifu na vimehusika katika mchakato mzima wa majadiliano, ili kuhakikisha kuwa hakuna mfanyakazi anayeachwa nyuma, na mabadiliko kwenye reli hiyo yanatarajiwa kuongeza mahitaji ya wafanyakazi, hasa katika kipindi cha miaka mitatu ya kwanza ya utekelezaji.
Miujiza ya Wanyamapori: Kutoka Mbuga Tambarare za Afrika hadi Uwanda wa Juu wa Qinghai -Tibet, China
Mandhari ya Kipekee ya Karst katika Mkoa wa Guizhou yavutia watalii
Tamasha la kimataifa la densi lafunguliwa katika Mkoa wa Xinjiang, China likiwa na maonyesho 52
Wakulima wa China wawa na pilikapilika za uzalishaji wa kilimo katika kipindi cha Dashu
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma